Je, kuamini kupo katika uwezo wa mwanaadamu?

The Answer

Dear Brother / Sister,

Ni Allah ndiye huwatunuku watu Imani. Hata hivyo, huwapa katika watumwa wake anayetaka. Mtumwa hutaka uongofu kutoka kwa Allah na Allah humpatia.

Kwa mujibu wa tafsiri ya Sa'd Taftazani, Imani ni Imani ni nuru ing’aayo inayotolewa na jua la milele (Allah mtukufu) na ni mwangaza kutoka katika neema isiyo na mwisho.” (Said Nursi, İşârâtü'l-İ'câz)

Maswali juu ya Uislamu

Author:
Maswali juu ya Uislamu
Subject Categories:
Read 27 times
In order to make a comment, please login or register
MASWALI YENYE KUFANANA