Je, jeni zina taathira yoyote juu ya kuamini kwa mtu au kutoamini? Je, kadhia hii inaondoa jukumu la mtu?
Kwanini mtu anayefariki hali ya kuwa ni kafiri huadhibiwa kwa kukaa motoni milele? Jee, hiyo ni adhabu yenye uadilifu?
Ni upi umuhimu wa Imani juu ya Allah?
Tawhid (Umoja wa Mwenyezi Mungu) ina maana gani?
Je, Imani ina faida kwa afya? Je, kuna tafiti zozote za kisayansi kuhusu hilo?
Ukafiri (Kufr) ni nini?
Je, Imani ya kuiga ni yenye kutosha leo?
Je, Unaweza kuthibitisha kuwepo wa Allah kupitia hoja za kiakili?
Ni zipi tofauti kati ya Imani juu ya “Mungu “ katika dini tofauti na imani juu ya “Allah” kama ilivyoelezwa na Quran; na ni zipi sifa za Muumba kama zilivyobainishwa na Uislamu?”
Je, unaweza kumtathmini mwanaadamu kupitia vioo vya Imani na ukanushaji kwa mujibu wa pande tofauti alizonazo?