Ni zipi tofauti kati ya Imani juu ya “Mungu “ katika dini tofauti na imani juu ya “Allah” kama ilivyoelezwa na Quran; na ni zipi sifa za Muumba kama zilivyobainishwa na Uislamu?”
Je, unaweza kumtathmini mwanaadamu kupitia vioo vya Imani na ukanushaji kwa mujibu wa pande tofauti alizonazo?
Ni ipi hali ya mtu asiyeukubali msingi mmoja tu kati ya misingi ya Imani?
Nini maana ya kumwamini Allah?
Ni zipi sifa za Allah? Zimegawika katika makundi mangapi?
Imani humfanya mtu apate nini?
Muumini ni nani? Ni zipi sifa za muumini?
Jee, ni lazima kutamka Imani kwa ulimi?
Je, unaweza kutoa maelezo ya kina kuhusu kuwepo kwa Allah?
Nini maana ya Allah kuwa huru na mbali kutokana na wakati na sehemu? Je, unaweza kuelezea kupitia mifano?