Watu wamegawika sehemu ngapi kiupande wa Imani na ukafiri?

The Answer

Dear Brother / Sister,

Wamegawika sehemu tatu:

1 - Waumini

2 - Makafiri

3 - Wanafiki

- Mtu anayeamini misingi muhimu ya dini ya Kiislamu ambayo ni wajibu kuiamini bila ya kusita na anazikubali huitwa muumini.

- Mtu asiyeamini moja kati ya misingi  ya Imani iliyojumuishwa katika Amantu na haamini lolote katika maamrisho au makatazo ya Allah huitwa kafiri.

- Mtu anayeonekana ameamini lakini anakanusha moyoni mwake huitwa mnafiki.

Maswali juu ya Uislamu

Author:
Maswali juu ya Uislamu
Subject Categories:
Read 53 times
In order to make a comment, please login or register
MASWALI YENYE KUFANANA